-
Yehova Hutujulisha Jinsi ya Kuzihesabu Siku ZetuMnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
-
-
20. (a) Mungu ‘hughairi’ kwa njia gani? (b) Yehova atatutendea jinsi gani tukifanya kosa zito lakini tuonyeshe toba ya kweli?
20 Lingekuwa jambo zuri kama nini kama tungeweza kufurahia siku zote zinazobaki za maisha yetu! Kuhusu jambo hilo, Musa anasihi: “Ee BWANA urudi, hata lini? Uwahurumie watumishi [“ughairi juu ya watumishi,” “NW”] wako.
-
-
Yehova Hutujulisha Jinsi ya Kuzihesabu Siku ZetuMnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
-
-
Mungu hakosei. Hata hivyo, wakati onyo lake la kutoa adhabu linapobadili mtazamo na mwenendo wa wakosaji wenye kutubu, yeye ‘hughairi,’ ‘akageuka’ na kuacha hasira yake. (Kumbukumbu la Torati 13:17)
-