-
Yehova Hutujulisha Jinsi ya Kuzihesabu Siku ZetuMnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
-
-
Utushibishe asubuhi kwa fadhili zako [au, “upendo mwaminifu-mshikamanifu”], nasi tutashangilia na kufurahi siku zetu zote.” (Zaburi 90:13, 14; NW, kielezi-chini)
-
-
Yehova Hutujulisha Jinsi ya Kuzihesabu Siku ZetuMnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
-
-
Hivyo, hata tukifanya kosa zito lakini tuonyeshe toba ya kweli, Yehova ‘atatushibisha kwa fadhili zake,’ nasi tutakuwa na sababu ya ‘kushangilia.’ (Zaburi 32:1-5) Kwa kufuata mwenendo mwadilifu, tutaona upendo mwaminifu-mshikamanifu wa Mungu na tutaweza “kufurahi siku zetu zote”—naam, katika maisha yetu yote.
-