-
Yehova Hutujulisha Jinsi ya Kuzihesabu Siku ZetuMnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
-
-
21. Huenda Musa alikuwa anaomba nini katika maneno ya Zaburi 90:15, 16?
21 Mtunga-zaburi anasali hivi kwa bidii: “Utufurahishe kwa kadiri ya siku ulizotutesa, kama miaka ile tuliyoona mabaya.
-
-
Yehova Hutujulisha Jinsi ya Kuzihesabu Siku ZetuMnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
-
-
Huenda Musa alikuwa anamwomba Mungu awape Israeli furaha ambayo ingelingana na, au ingedumu sawa na zile siku ambazo waliteseka na miaka ambayo waliona mabaya.
-