-
Yehova Ni Kimbilio LetuMnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
-
-
15. Tunafurahia msaada wa malaika katika njia zipi?
15 Kuhusu ulinzi tunaofurahia, mtunga-zaburi anaongeza kusema: “Kwa kuwa [Yehova] atakuagizia malaika zake wakulinde katika njia zako zote.
-
-
Yehova Ni Kimbilio LetuMnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
-
-
Malaika wamepewa uwezo wa kutulinda. (2 Wafalme 6:17; Zaburi 34:7-9; 104:4; Mathayo 26:53; Luka 1:19) Wao hutulinda katika ‘njia zetu zote.’ (Mathayo 18:10)
-