Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova Ni Kimbilio Letu
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
    • kwa siku nyingi nitamshibisha [“nitamshibisha kwa urefu wa siku,” “NW”], nami nitamwonyesha wokovu wangu.” (Zaburi 91:15, 16)

  • Yehova Ni Kimbilio Letu
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
    • 21. Watiwa-mafuta tayari wametukuzwa jinsi gani?

      21 Licha ya upinzani mkali sana wa Shetani, idadi kamili ya watiwa-mafuta miongoni mwetu watatukuzwa mbinguni ufikapo wakati wa Yehova uliowekwa—baada ya “urefu wa siku” duniani. Hata hivyo, matendo ya Mungu ya kuokoa yenye kutokeza tayari yamewatukuza kwa njia ya kiroho watiwa-mafuta. Nao wana pendeleo lililoje kuwa katika mstari wa mbele wakiwa Mashahidi wa Yehova duniani katika siku hizi za mwisho! (Isaya 43:10-12) Tendo lililo kubwa zaidi la Yehova la kuwaokoa watu wake litatokea wakati wa vita kuu ya Har-Magedoni atakapotetea enzi yake kuu na kutakasa jina lake takatifu.—Zaburi 83:18; Ezekieli 38:23; Ufunuo 16:14, 16.

      22. Ni nani ‘watakaoonyeshwa wokovu na Yehova’?

      22 Sisi humtegemea Mungu ili tupate wokovu, tuwe Wakristo watiwa-mafuta au waandamani wao waliojiweka wakfu. Wakati wa “siku ya BWANA iliyo kuu na itishayo,” wale wanaomtumikia Mungu kwa uaminifu-mshikamanifu wataokolewa. (Yoeli 2:30-32) Wale kati yetu ambao watakuwa sehemu ya “mkutano mkubwa” watakaookoka na kuingia katika ulimwengu mpya wa Mungu kisha wadumishe uaminifu wao wakati wa jaribu la mwisho, ‘watashibishwa naye kwa urefu wa siku’—uhai wa milele. Atawafufua watu wengi pia. (Ufunuo 7:9; 20:7-15) Naam, Yehova atafurahia sana ‘kutuonyesha wokovu’ kupitia Yesu Kristo. (Zaburi 3:8)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki