-
“Hekima ya Mungu Katika Siri Takatifu”Mkaribie Yehova
-
-
13, 14. (a) Kulingana na Zaburi 110, Yehova anamwahidi nini Mfalme wake aliyetiwa mafuta? (b) Manabii wa Yehova walifunua mambo gani mengine kuhusu Mzao ambaye angekuja?
13 Daudi aliongozwa kuandika hivi: “Neno la BWANA kwa Bwana wangu, Uketi mkono wangu wa kuume, hata niwafanyapo adui zako kuwa chini ya miguu yako.
-
-
“Hekima ya Mungu Katika Siri Takatifu”Mkaribie Yehova
-
-
Maneno hayo ya Daudi yalimhusu moja kwa moja, Mzao aliyeahidiwa, au Mesiya. (Matendo 2:35, 36) Mfalme huyo hangetawala kutoka Yerusalemu, bali kutoka mbinguni kwenye ‘mkono wa kuume’ wa Yehova. Basi angekuwa na mamlaka, si juu ya nchi ya Israeli tu, bali juu ya dunia yote. (Zaburi 2:6-8)
-