-
“Hekima ya Mungu Katika Siri Takatifu”Mkaribie Yehova
-
-
BWANA ameapa, wala hataghairi, Ndiwe kuhani hata milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” (Zaburi 110:1, 4)
-
-
“Hekima ya Mungu Katika Siri Takatifu”Mkaribie Yehova
-
-
Angalia kwamba Yehova aliapa kwa dhati kwamba huyo Mesiya angekuwa “kuhani . . . kwa mfano wa Melkizedeki.” Kama Melkizedeki, ambaye alitumika akiwa mfalme na kuhani katika siku za Abrahamu, Mzao ambaye angekuja angechaguliwa na Mungu moja kwa moja awe Mfalme na Kuhani!—Mwanzo 14:17-20.
-