-
Yehova Ni Msaidizi WetuMnara wa Mlinzi—2004 | Desemba 15
-
-
Chanzo Kinachotegemeka cha Msaada
3. Huenda mtunga-zaburi aliinua macho yake kuelekea milima gani, na kwa nini?
3 Mtunga-zaburi alianza kwa kueleza kwamba kwa kuwa Yehova ndiye aliyeumba kila kitu, tuna msingi wa kuwa na uhakika. Alisema hivi: “Nitainua macho yangu milimani. Msaada wangu utatoka wapi?
-
-
Yehova Ni Msaidizi WetuMnara wa Mlinzi—2004 | Desemba 15
-
-
Mtunga-zaburi aliinua macho yake kuelekea milima fulani hususa. Maneno hayo yalipoandikwa, hekalu la Yehova lilikuwa Yerusalemu. Jiji hilo lililokuwa juu ya milima ya Yuda, lilifananisha makao ya Yehova. (Zaburi 135:21) Huenda mtunga-zaburi aliinua macho yake kuelekea milima ya Yerusalemu ambako hekalu la Yehova lilijengwa, huku akitegemea msaada wa Yehova akiwa na uhakika.
-