Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova, Mungu wa Ukweli
    Mnara wa Mlinzi—2003 | Agosti 1
    • Mtunga-zaburi aliandika hivi: “BWANA, ni nani atakayekaa katika hema yako? Ni nani atakayefanya maskani yake katika kilima chako kitakatifu?

  • Yehova, Mungu wa Ukweli
    Mnara wa Mlinzi—2003 | Agosti 1
    • Zaburi 15:1,

  • Yehova, Mungu wa Ukweli
    Mnara wa Mlinzi—2003 | Agosti 1
    • Kwa Wayahudi walioimba maneno hayo, kutajwa kwa mlima mtakatifu wa Yehova kuliwakumbusha Mlima Sayuni, ambapo Mfalme Daudi alileta sanduku la agano kwenye hema alilojenga huko. (2 Samweli 6:12, 17) Mlima na hema viliwakumbusha mahali ambapo Yehova alikaa kwa njia ya mfano. Watu wangeweza kumkaribia Mungu na kumsihi ili kupata kibali chake mahali hapo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki