Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mtumikie Mungu wa Uhuru
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Julai 15
    • Kila andiko lina kanuni muhimu kuhusu marafiki tunaochagua: “Sikuketi na watu wasiosema kweli; wala siingii pamoja na wale wanaoficha jinsi walivyo.” (Zab. 26:4)

  • Mtumikie Mungu wa Uhuru
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Julai 15
    • Maandiko hayo yameandikwa kwa njia inayoonyesha kwamba Yehova anajaribu kugusa mioyo yetu. Jinsi gani? Ona kwamba hakuna andiko lolote kati ya maandiko hayo ambalo linaweka sheria, kwa kusema “hupaswi . . .” Badala yake, maandiko hayo yameandikwa kwa njia rahisi inayoonyesha ukweli. Ni kana kwamba Yehova anatuambia hivi: ‘Huu ndio ukweli wa mambo. Utaitikiaje? Ni nini kilicho moyoni mwako?’

      13 Mwishowe, kwa sababu maandiko hayo matatu yametolewa yakiwa kweli za msingi, yanatumika hata sasa na yanaweza kutumika katika hali nyingi mbalimbali. Kwa mfano, jiulize maswali kama vile: Ninaweza kuepuka jinsi gani kushirikiana na watu “wanaoficha jinsi walivyo”? Ninaweza kukutana na watu wa aina hiyo katika hali gani? (Met. 3:32; 6:12)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki