-
Tembea Katika Njia ya UtimilifuMnara wa Mlinzi—2004 | Desemba 1
-
-
“Ee Unikomboe na Kunionyesha Kibali”
22-24. (a) Unapata kitia-moyo gani katika maneno ya kumalizia ya Zaburi 26? (b) Tutazungumzia mtego gani katika makala inayofuata?
22 Daudi alimalizia maneno aliyomwambia Mungu kwa kusema hivi: “Mimi nami nitatembea katika utimilifu wangu. Ee unikomboe na kunionyesha kibali.
-
-
Tembea Katika Njia ya UtimilifuMnara wa Mlinzi—2004 | Desemba 1
-
-
Azimio la Daudi la kudumisha utimilifu linahusiana sana na ombi lake la kukombolewa. Hilo linatia moyo kama nini! Licha ya hali yetu ya dhambi, Yehova atatusaidia ikiwa tumeazimia kutembea katika njia ya utimilifu.
-