-
Mambo Makuu Katika Kitabu cha MethaliMnara wa Mlinzi—2006 | Septemba 15
-
-
9:10—Ni katika njia gani kumwogopa Yehova ni “mwanzo wa ujuzi” na “mwanzo wa hekima”?
-
-
Mambo Makuu Katika Kitabu cha MethaliMnara wa Mlinzi—2006 | Septemba 15
-
-
Pia, kumwogopa Mungu ni mwanzo wa hekima kwa sababu hakuwezi kuwa na hekima bila ujuzi. Isitoshe, mtu asiyemwogopa Yehova hawezi kutumia ujuzi wowote alio nao ili kumheshimu Muumba.
-