Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Furahia Kujifunza Kibinafsi Neno la Mungu
    Mnara wa Mlinzi—2002 | Desemba 1
    • 6. Tunapaswa kuwa na mtazamo gani kuelekea kumjua Mungu?

      6 Kwanza, tunahimizwa hivi: “Mwanangu, kama ukiyakubali maneno yangu, na kuyaweka akiba maagizo yangu;

  • Furahia Kujifunza Kibinafsi Neno la Mungu
    Mnara wa Mlinzi—2002 | Desemba 1
    • Mithali 2:1,

  • Furahia Kujifunza Kibinafsi Neno la Mungu
    Mnara wa Mlinzi—2002 | Desemba 1
    • Tunajifunza nini kutokana na maneno hayo? Kwamba kila mmoja wetu ana daraka la kujifunza Neno la Mungu. Ona sharti ambalo limewekwa hapa “kama ukiyakubali maneno yangu.” Sharti hilo ni muhimu kwa sababu watu wengi hawajishughulishi kusoma Neno la Mungu. Ili tupate shangwe ya kujifunza Neno la Mungu, lazima tuwe tayari kupokea maneno ya Yehova na kuyaona kama kitu chenye thamani kubwa hivi kwamba hatungependa kukipoteza. Hatupaswi kuruhusu shughuli zetu za kila siku au mambo fulani yatukengeushe fikira na hivyo tukose kupendezwa na Neno la Mungu, au hata kuwa na shaka nalo.—Waroma 3:3, 4.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki