Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kuza Urafiki wa Karibu Pamoja na Yehova
    Mnara wa Mlinzi—2000 | Januari 15
    • Mfalme Solomoni wa Israeli la kale aanza sura ya tatu ya Mithali kwa maneno haya: “Mwanangu, usiisahau sheria yangu, bali moyo wako uzishike amri zangu.

  • Kuza Urafiki wa Karibu Pamoja na Yehova
    Mnara wa Mlinzi—2000 | Januari 15
    • (Mithali 3:1, 2) Kwa kuwa Solomoni alipuliziwa na Mungu kuandika hayo, shauri hilo kama la baba kwa kweli latoka kwa Yehova Mungu nasi ndio tunaoshauriwa. Hapa twashauriwa tutii vikumbusha vya Mungu—sheria, au mafundisho yake, na amri zake—zilizorekodiwa katika Biblia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki