Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Hekima Ni Ulinzi”
    Mnara wa Mlinzi—2007 | Julai 15
    • Ufahamu ni kisima cha uzima kwa hao walio nao; nayo nidhamu ya wapumbavu ni upumbavu.

  • “Hekima Ni Ulinzi”
    Mnara wa Mlinzi—2007 | Julai 15
    • Methali 16:20-

  • “Hekima Ni Ulinzi”
    Mnara wa Mlinzi—2007 | Julai 15
    • Ndiyo, ufahamu ni “kisima cha uzima” kwa wale walio nao. Lakini namna gani wapumbavu? ‘Wanadharau hekima na nidhamu.’ (Methali 1:7) Wanapata matokeo gani wanapokataa nidhamu ya Yehova? Kama ilivyoonyeshwa hapo juu, Sulemani anasema: “nidhamu ya wapumbavu ni upumbavu.” (Methali 16:22) Kwa kawaida wanapata nidhamu zaidi, wanapoadhibiwa vikali. Wapumbavu wanaweza pia kujiletea matatizo, aibu, magonjwa, na hata kifo cha mapema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki