-
Mfanye Yehova Kuwa Tumaini LakoMnara wa Mlinzi—2003 | Septemba 1
-
-
katika njia zako zote mkiri yeye, naye atayanyosha mapito yako.” (Mithali 3:5, 6)
-
-
Mfanye Yehova Kuwa Tumaini LakoMnara wa Mlinzi—2003 | Septemba 1
-
-
22, 23. (a) Kwa nini tunapaswa kumtumaini Yehova tunapokabili matatizo, na tunawezaje kufanya hivyo? (b) Ni nini kitakachozungumziwa katika makala inayofuata?
22 Hata hivyo, andiko la Mithali 3:6 linaonyesha kwamba tunapaswa ‘kumkiri Yehova katika njia zetu zote,’ si wakati tu tunapokabili hali ngumu. Kwa hiyo maamuzi tunayofanya kila siku yanapaswa kuonyesha kwamba tunamtumaini Yehova. Matatizo yanapotokea, hatupaswi kuvunjika moyo, kushtuka, au kukataa mwongozo wa Yehova kuhusu jinsi ya kushughulikia mambo kwa njia bora zaidi. Tunapaswa kuona matatizo kuwa nafasi ya kutetea enzi kuu ya Yehova, kuchangia kumthibitisha Shetani kuwa mwongo, na kusitawisha utii na sifa nyingine zinazompendeza Yehova.—Waebrania 5:7, 8.
-