-
“Iweni Waigaji wa Mungu” Mnapotumia UwezoMkaribie Yehova
-
-
Kulingana na Biblia, nidhamu au mafundisho huhusisha upendo. (Mithali 13:24) Kwa hiyo, “fimbo ya adhabu” haipaswi kamwe kuwaumiza watoto kihisia-moyo au kimwili.a (Mithali 22:15; 29:15)
-
-
“Iweni Waigaji wa Mungu” Mnapotumia UwezoMkaribie Yehova
-
-
a Katika nyakati za Biblia, neno la Kiebrania linalotafsiriwa “fimbo” lilimaanisha kijiti au gongo kama lile lililotumiwa na mchungaji kuwaongoza kondoo. (Zaburi 23:4) Vivyo hivyo, “fimbo” ya mamlaka ya wazazi inaonyesha mwongozo wa upendo, wala si adhabu kali au ya kikatili.
-