Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Pata Hekima na Ukubali Nidhamu
    Mnara wa Mlinzi—1999 | Septemba 15
    • Halafu mfalme huyo mwenye hekima aongea na vijana: “Mwanangu, yasikilize mafundisho ya baba yako, wala usiiache sheria ya mama yako,

  • Pata Hekima na Ukubali Nidhamu
    Mnara wa Mlinzi—1999 | Septemba 15
    • Mithali 1:8, 9, italiki ni zetu.

      Katika Israeli la kale, wazazi walikuwa na daraka walilopewa na Mungu la kufundisha watoto wao. Musa aliwahimiza akina baba hivi: “Na maneno haya ninayokuamuru leo, yatakuwa katika moyo wako; nawe uwafundishe watoto wako kwa bidii, na kuyanena uketipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo.” (Kumbukumbu la Torati 6:6, 7) Akina mama pia walikuwa na uvutano mkubwa. Bila kupuuza mamlaka ya mume wake, mke Mwebrania angeweza kutekeleza sheria ya familia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki