Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Pata Hekima na Ukubali Nidhamu
    Mnara wa Mlinzi—1999 | Septemba 15
    • Kabla ya kumtuma Marekani kupata elimu ya juu, baba mmoja Mwasia alimshauri mwana wake mwenye umri wa miaka 16 asishirikiane na watu wabaya. Shauri hilo lafanana na onyo la Solomoni: “Mwanangu, wenye dhambi wakikushawishi, wewe usikubali.” (Mithali 1:10, italiki ni zetu.)

  • Pata Hekima na Ukubali Nidhamu
    Mnara wa Mlinzi—1999 | Septemba 15
    • Kwa wazi, utajiri ndio kishawishi. Kwa msingi wa kutajirika haraka, “wenye dhambi” huwashawishi wengine washiriki katika njama zao za jeuri au zisizo za haki.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki