-
Je, Unatimiza Wajibu Wako Wote kwa Mungu?Mnara wa Mlinzi—1999 | Novemba 15
-
-
Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au likiwa baya.” (Mhubiri 12:13, 14)
-
-
Je, Unatimiza Wajibu Wako Wote kwa Mungu?Mnara wa Mlinzi—1999 | Novemba 15
-
-
16. Kuhusu hukumu, Yehova atafanya nini?
16 Tunapaswa kutambua kwamba hakuna jambo ambalo Muumba wetu Mtukufu hawezi kuona. (Mithali 15:3) Yeye “ataleta hukumuni kila kazi.” Ndiyo, Aliye Juu Zaidi atahukumu mambo yote, hata yale ambayo hayaonekani kwa macho ya wanadamu. Kujua mambo hayo kwaweza kutuchochea tutii amri za Mungu.
-