Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Je, Kweli Unathamini Zawadi ya Mungu ya Ndoa?
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Mei 15
    • 5 Kwa sababu msichana Mshulami na kijana mchungaji walimpenda Mungu sana, ndoa yao ingekuwa imara kabisa. Kwa kweli, Mshulami alimwambia hivi mpenzi wake mchungaji: “Nitie kama muhuri juu ya moyo wako, kama muhuri juu ya mkono wako; kwa maana upendo una nguvu kama kifo, msisitizo juu ya kujitoa kikamili ni wenye kudai kama Kaburi. Miwako yake ni miwako ya moto, mwali wa moto wa Yah [kwa kuwa unatoka kwake].

  • Je, Kweli Unathamini Zawadi ya Mungu ya Ndoa?
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Mei 15
    • Kama mtu angetoa vitu vyote vyenye thamani vya nyumba yake kwa ajili ya upendo, hakika watu wangevidharau.” (Wim. 8:6, 7)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki