Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ibada ya Kweli Yapanuka Ulimwenguni Pote
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 20. Hali za yule “mwanamke” zitabadilikaje sana?

      20 Lo, sasa hali za “mwanamke” wa Yehova zinabadilika kama nini! Yehova anasema hivi: “[Badala ya,” “NW”] kuwa umeachwa na kuchukiwa, hata ikawa hapana mtu aliyepita ndani yako, nitakufanya kuwa fahari ya milele, furaha ya vizazi vingi.

  • Ibada ya Kweli Yapanuka Ulimwenguni Pote
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 60:15,

  • Ibada ya Kweli Yapanuka Ulimwenguni Pote
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 21. (a) Yerusalemu la kale linapataje “fahari”? (b) Watumishi watiwa-mafuta wa Yehova wamefurahia baraka zipi tangu mwaka wa 1919, na wamenyonyaje “maziwa ya mataifa”?

      21 Kwa muda wa miaka 70, Yerusalemu la kale ni kama limeondolewa kwenye ramani, kwani ‘hapana mtu anayepita ndani yake.’ Lakini kuanzia mwaka wa 537 K.W.K., Yehova anarudisha watu katika jiji hilo, akilipatia “fahari.” Vivyo hivyo, kuelekea mwisho wa vita ya kwanza ya ulimwengu, Israeli wa Mungu walipatwa na kipindi cha ukiwa ambamo walihisi ‘wameachwa.’ Lakini mwaka wa 1919, Yehova aliwakomboa watumishi wake watiwa-mafuta kutoka utekwani, na tangu wakati huo amewabariki kwa mpanuko na ufanisi wa kiroho ambao haujawahi kuonekana kabla ya hapo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki