-
“Jina Jipya”Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
wala msimwache akae kimya, mpaka atakapoufanya imara Yerusalemu, na kuufanya kuwa sifa duniani.” (Isaya 62:6, 7) Katika wakati wa Yehova, baada ya mabaki waaminifu kutoka Babiloni, Yerusalemu linakuwa “sifa duniani”—jiji lenye kuta za kuwapa wakaaji wake usalama.
-
-
“Jina Jipya”Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Kwa kufanya kazi na jamii ya mlinzi, ule “umati mkubwa” pia hushiriki sehemu ya maana katika kufanya Sayuni awe “sifa duniani.”—Ufunuo 7:9.
-
-
“Jina Jipya”Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
16. Ni jinsi gani watumishi wa Yehova ‘wasivyomwacha akae kimya’?
16 Watumishi wa Yehova wanatiwa moyo kusali bila kukoma, kumwomba Mungu ‘mapenzi yake yatendeke, kama ilivyo katika mbingu, pia juu ya dunia.’ (Mathayo 6:9, 10; 1 Wathesalonike 5:17) Wanahimizwa hivi: “Msimwache [Yehova] akae kimya” mpaka awatimizie tamaa zenu na matumaini yanayohusiana na kurudishwa kwa ibada ya kweli. Yesu alikazia uhitaji wa kusali daima, akawahimiza wafuasi wake ‘kumpaazia Mungu kilio mchana na usiku.’—Luka 18:1-8.
-