-
Yehova Ajifanyia Jina MaridadiUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Nikazikanyaga kabila za watu kwa hasira yangu, nikawalevya kwa ghadhabu yangu, nami nikaimwaga damu yao [“inayofoka-foka,” “NW”] chini.”—Isaya 63:5, 6.
-
-
Yehova Ajifanyia Jina MaridadiUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Kwa kuwa sikuzote Yehova huchukua hatua zinazotegemea kanuni za uadilifu, ghadhabu yake inamwunga mkono na kumchochea ‘kumwaga chini’ ile ‘damu inayofoka-foka’ ya adui zake, hata kuwashushia heshima na kuwashinda.—Zaburi 75:8; Isaya 25:10; 26:5.
-