Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova Ajifanyia Jina Maridadi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 19, 20. Wayahudi wanakumbuka mambo gani, na kwa nini?

      19 Katikati ya mateso yao, Wayahudi fulani wanaguswa moyo kuufikiria wakati uliopita. Isaya anasema hivi: “Ndipo walipokumbuka siku za zamani, wakati wa Mose mtumishi wa Mwenyezi-Mungu. Wakauliza, ‘Yuko wapi sasa Mwenyezi-Mungu, aliyewaokoa wachungaji wa kundi lake baharini? Yuko wapi yule aliyeiweka roho yake takatifu kati yao,

  • Yehova Ajifanyia Jina Maridadi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 63:11

  • Yehova Ajifanyia Jina Maridadi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 20 Ndiyo, kwa kupatwa na matokeo ya kutokutii, Wayahudi wanatamani sana siku zile ambazo Yehova alikuwa Mkombozi wao wala si adui yao. Wanakumbuka jinsi “wachungaji” wao, Musa na Haruni, walivyowaongoza salama wakawavusha Bahari Nyekundu. (Zaburi 77:20; Isaya 51:10) Wanakumbuka wakati ambao, badala ya wao kuihuzunisha roho ya Mungu, roho hiyo iliwaongoza kupitia mwelekezo uliotolewa na Musa na wanaume wengine wazee waliowekwa rasmi kwa roho. (Hesabu 11:16, 17)

  • Yehova Ajifanyia Jina Maridadi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • d Mstari huu ungeweza pia kuanza kwa kusema hivi: “Yeye akaanza kukumbuka.” (Isaya 63:11, kielezi-chini katika NW) Hata hivyo, si lazima hiyo imaanishe kwamba Yehova ndiye mwenye kukumbuka. Maneno yanayofuata yanaeleza hisia za watu wa Mungu wala si za Yehova mwenyewe. Hivyo, kichapo Soncino Books of the Bible kinayafasiri maneno hayo hivi: “Ndipo watu Wake wakazikumbuka siku za zamani.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki