-
‘Mkashangilie Daima kwa Ajili ya Hivi Niviumbavyo’Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Mungu ana hamu nyingi ya kutimiza mahitaji ya watu wake kiasi cha kuahidi hivi: “Itakuwa ya kwamba, kabla hawajaomba, nitajibu; na wakiwa katika kunena, nitasikia.”—Isaya 65:24.
-
-
‘Mkashangilie Daima kwa Ajili ya Hivi Niviumbavyo’Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Yehova atayasikia na kuyatimiza mahitaji yao, hata kuyatazamia. Kwa kweli, Yehova ataufungua mkono wake na kuridhisha “kila kilicho hai matakwa yake.”—Zaburi 145:16.
-