Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mtumaini Yehova Ukabilipo Janga
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 26, 27. (a) Isaya atabiri matukio gani? (b) Maneno ya Isaya yaonyesha nini kwa watumishi wa Yehova leo?

      26 Isaya aendelea na maonyo yake: “Kwa sababu watu hawa wameyakataa maji ya Shiloa yapitayo polepole, na kufurahi kwa ajili ya Resini na huyo mwana wa Remalia, basi sasa angalia;

  • Mtumaini Yehova Ukabilipo Janga
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 27 “Watu hawa,” ufalme wa kaskazini wa Israeli, wakataa agano la Yehova na Daudi. (2 Wafalme 17:16-18) Kwa maoni yao, agano hilo ni hafifu kama maji yanayotiririka ya Shiloa, mfereji unaoleta maji Yerusalemu. Wanafurahia vita yao dhidi ya Yuda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki