-
“Na Tunyoshe Mambo”Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Sikukuu zenu za mwezi mpya na karamu zenu zilizoamriwa, nafsi yangu yazichukia; mambo hayo yanilemea; nimechoka kuyachukua.” (Isaya 1:13, 14)
-
-
“Na Tunyoshe Mambo”Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Kuhusu “mwezi mpya,” Sheria huagiza tu kwamba sikukuu hizo ziadhimishwe, ingawa mapokeo yafaayo yameanzishwa kuhusiana nazo. (Hesabu 10:10; 28:11) Mwezi mchanga huonwa kuwa sabato ya kila mwezi, wakati ambapo watu wangeacha kufanya kazi na hata kukusanyika ili kufundishwa na manabii na makuhani. (2 Wafalme 4:23; Ezekieli 46:3; Amosi 8:5) Hayo si mazoea mabaya. Kasoro ni kwamba yanafanywa ili kujionyesha tu.
-
-
“Na Tunyoshe Mambo”Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Kwa hiyo, ibada yao ‘yamlemea’ Yehova.
6. Yehova ‘amechoka’ katika maana gani?
6 Ingawa hivyo, Yehova angehisije ‘kuchoka’? Kwani yeye anao “ukuu wa uweza . . . Hazimii, wala hachoki.” (Isaya 40:26, 28) Yehova atumia usemi dhahiri ili kutuwezesha kuelewa hisia zake. Je, umewahi kubeba mzigo mzito kwa muda mrefu hivi kwamba ukachoka kabisa nawe ukatamani kuutupilia mbali? Hivyo ndivyo ahisivyo Yehova juu ya ibada ya unafiki ya watu wake.
-