-
Msiogope AshuruUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Hata hivyo, mstari wa 21 waonyesha kuwa ni wachache tu watakaofanya hivyo: “Mabaki . . . watamrudia Mungu.” Hilo latukumbusha Shear-yashubu, mwana wa Isaya, aliye ishara katika Israeli na ambaye jina lamaanisha “Mabaki Wachache Tu Ndio Watakaorudi.” (Isaya 7:3)
-
-
Msiogope AshuruUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Unabii katika Isaya 10:20-23 ulikuwa na utimizo mwingine zaidi katika karne ya kwanza, kama ionyeshwavyo katika Waroma 9:27, 28. (Linganisha Isaya 1:9; Waroma 9:29.) Paulo aeleza kwamba kwa njia ya kiroho, “mabaki” ya Wayahudi ‘walimrudia’ Yehova katika karne ya kwanza W.K., kwa vile ni Wayahudi waaminifu wachache waliokuja kuwa wafuasi wa Yesu Kristo na kuanza kumwabudu Yehova “kwa roho na kweli.” (Yohana 4:24)
-