-
Yehova Anyenyekeza Jiji Lenye KujigambaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
17, 18. Kushindwa kwa Babiloni kutaleta baraka gani kwa Israeli?
17 Anguko la Babiloni litakuwa kitulizo kwa Israeli. Anguko hilo litasababisha kuachiliwa kwao kutoka utekwani na kuwapa fursa ya kurudi katika Bara Lililoahidiwa. Basi, Isaya sasa asema: “BWANA atamhurumia Yakobo, atamchagua Israeli tena, naye atawaweka katika nchi yao wenyewe; na mgeni atajiunga nao, nao wataambatana na nyumba ya Yakobo.
-
-
Yehova Anyenyekeza Jiji Lenye KujigambaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Hapo, neno “Yakobo” larejezea Israeli kwa jumla—makabila yote 12. Yehova atahurumia “Yakobo” kwa kuliruhusu taifa hilo lirudi nyumbani.
-
-
Yehova Anyenyekeza Jiji Lenye KujigambaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
19. Ni nini kinachohitajiwa ili Israeli ipate msamaha wa Yehova, nasi twaweza kujifunza nini kutokana na hilo?
19 Hata hivyo, rehema ya Yehova ina masharti. Lazima watu wake waonyeshe majuto kwa sababu ya uovu wao, uliomfanya Mungu awaadhibu vikali. (Yeremia 3:25) Ungamo la unyofu, litokalo moyoni, litafanya Yehova awasamehe. (Ona Nehemia 9:6-37; Danieli 9:5.)
-