-
“Na Tunyoshe Mambo”Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
29, 30. (a) Yehova atangaza nini kwa wale wanaokataa kunufaika na utaratibu wa usafishaji? (b) Watu ‘waaibishwaje’ na miti na bustani zao?
29 Namna gani “takataka” inayotajwa katika unabii wa Isaya? Ni nini huwapata wale wanaokataa kunufaika na utaratibu wa Mungu wa usafishaji? Isaya aendelea: “Lakini kuharibika kwao wakosao nao wenye dhambi kutatokea wakati mmoja, nao wamwachao BWANA watateketezwa.
-
-
“Na Tunyoshe Mambo”Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Wale wanaokosa na kufanya dhambi dhidi ya Yehova, wakiupuuza ujumbe wa kuwaonya wa manabii wake hadi iwe kuchelewa mno, kweli ‘wanaharibika’ nao ‘wanateketezwa.’ Hilo latukia mwaka wa 607 K.W.K.
-