Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova Ni Mfalme
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • nao watakusanywa pamoja kama vile wakusanywavyo wafungwa katika shimo nao watafungwa katika gereza; na baada ya muda wa siku nyingi watajiliwa.

  • Yehova Ni Mfalme
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Akizungumza kwa mfano, Isaya asema kwamba watakusanywa na ‘kufungwa katika gereza.’ “Baada ya muda wa siku nyingi,” labda Shetani na roho wake waovu (lakini si “wafalme wa dunia katika dunia”) waachiliwapo kwa muda mfupi mwishoni mwa Utawala wa Miaka Elfu wa Yesu Kristo, Mungu atawapa adhabu ya mwisho inayowafaa.—Ufunuo 20:3, 7-10.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki