Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wokovu kwa Wanaochagua Nuru
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Machi 1
    • “Umeliongeza Hilo Taifa”

      13, 14. Watumishi watiwa-mafuta wa Yehova wamefurahia baraka gani nyingi tangu 1919?

      13 Mungu alibariki mtazamo huo wa toba wa watumishi wake watiwa-mafuta katika mwaka wa 1919 na kuwapa ongezeko. Kwanza, walizingatia kukusanywa kwa washiriki wa mwisho wa Israeli wa Mungu, kisha “umati mkubwa” wa “kondoo wengine” ukaanza kukusanywa. (Ufunuo 7:9; Yohana 10:16) Baraka hizo zilitabiriwa katika unabii huu wa Isaya: “Umeliongeza hilo taifa, BWANA umeliongeza taifa; wewe umetukuzwa, umeipanua mipaka yote ya nchi hii.

  • Wokovu kwa Wanaochagua Nuru
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Machi 1
    • Isaya 26:15,

  • Wokovu kwa Wanaochagua Nuru
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Machi 1
    • 14 Leo, mipaka ya Israeli wa Mungu imepanuka na kuenea duniani pote, na umati mkubwa ambao umeongezwa sasa umefikia watu milioni sita wanaoshiriki kwa shangwe kazi ya kuhubiri habari njema. (Mathayo 24:14) Ni baraka iliyoje kutoka kwa Yehova! Hilo huleta utukufu ulioje kwa jina lake! Jina hilo husikiwa leo katika nchi 235—utimizo wa ajabu wa ahadi yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki