-
Wokovu kwa Wanaochagua NuruMnara wa Mlinzi—2001 | Machi 1
-
-
20. Yehova hulindaje kutaniko la Wakristo?
20 Twaweza kufurahi kwamba hasira ambayo Yehova alikuwa nayo hapo awali dhidi ya watumishi wake watiwa-mafuta—iliyomfanya aruhusu wapelekwe katika utekwa wa kiroho mwaka wa 1918—imekoma. Yehova mwenyewe asema hivi: “Hasira sinayo ndani yangu; kama mibigili na miiba [“magugu,” NW] ingekuwa mbele zangu, ningepanga vita juu yake, ningeiteketeza yote pamoja.
-
-
Wokovu kwa Wanaochagua NuruMnara wa Mlinzi—2001 | Machi 1
-
-
Ili kuhakikisha kwamba shamba lake la mizabibu litaendelea kutoa “mvinyo” kwa wingi, Yehova huvunja-vunja na kuharibu uvutano wowote ulio kama magugu unaoweza kuwapotosha. Kwa hiyo, mtu yeyote asihatarishe hali njema ya kutaniko la Kikristo!
-