-
Mkono wa Yehova WainuliwaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
28 Kwa kweli, shangwe imechukua mahali pa hasira ya awali ya Yehova! “Hasira sinayo ndani yangu; kama mibigili na miiba ingekuwa mbele zangu, ningepanga vita juu yake, ningeiteketeza yote pamoja.
-
-
Mkono wa Yehova WainuliwaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Ili kuhakikisha kuwa mizabibu yake yaendelea kuzaa “mvinyo” kwa wingi, Yehova auharibu na kuuteketeza kana kwamba kwa moto, uvutano wowote ulio kama magugu uwezao kuliharibu shamba lake la mizabibu. Kwa hiyo, yeyote asithubutu kuhatarisha hali njema ya kutaniko la Kikristo!
-