-
Isaya Atabiri ‘Tendo la Ajabu’ la YehovaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
20. Mwisho kamili wa adui za Mungu utakuwa nini?
20 Kabla ya wakati huo wenye maafa, mara kwa mara Yuda yapata mfalme anayetii Sheria ya Yehova. Kisha nini? Yehova awapigania watu wake. Hata adui wakiifunika nchi, wapata kuwa kama “mavumbi membamba” na “makapi.”
-