Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Je, Utatembea Pamoja na Mungu?
    Mnara wa Mlinzi—2005 | Novemba 1
    • Tunaweza Kutembeaje Pamoja na Mungu?

      9. Kwa nini nyakati nyingine Yehova alijificha kutoka kwa watu wake, lakini alitoa uhakikisho gani kwenye Isaya 30:20?

      9 Tunapaswa kuzingatia kwa makini swali la tatu. Nalo ni, Tunaweza kutembeaje pamoja na Mungu? Tunapata jibu katika andiko la Isaya 30:20, 21: “Mfundishaji wako Mkuu hatajificha tena, na macho yako yatakuwa macho yanayomwona Mfundishaji Mkuu wako. Na masikio yako yatasikia neno nyuma yako likisema: ‘Hii ndiyo njia.

  • Je, Utatembea Pamoja na Mungu?
    Mnara wa Mlinzi—2005 | Novemba 1
    • Katika masimulizi hayo yenye kutia moyo, huenda maneno ya Yehova katika mstari wa 20 yaliwakumbusha watu wake kwamba walipomwasi ni kana kwamba alijificha kutoka kwao. (Isaya 1:15; 59:2) Hata hivyo, hapa Yehova haonyeshwi akiwa amejificha bali kama ambaye amesimama mbele ya watu wake waaminifu. Huenda tukafikiria jinsi mwalimu husimama mbele ya wanafunzi wake, akiwaonyesha kile anachotaka wafanye.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki