Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Endelea Kumngojea Yehova
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 17, 18. Hata katika nyakati za magumu, Yehova huandaaje mwongozo?

      17 Isaya aendeleapo kutoa hotuba yake, awakumbusha wanaomsikiliza kwamba shida itakuja. Watu watapata “chakula cha shida na maji ya msiba.” (Isaya 30:20a) Shida na msiba watakazopata wakiwa chini ya mazingiwa zitakuwa za kawaida kama vile chakula na maji zilivyo vitu vya kawaida. Ijapokuwa hivyo, Yehova yuko tayari kuwaokoa wenye mioyo minyofu. “Waalimu [“Mfunzi Mtukufu,” “NW”] wako hawatafichwa tena, ila macho yako yatawaona waalimu wako;

  • Endelea Kumngojea Yehova
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 30:20b,

  • Endelea Kumngojea Yehova
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 18 Yehova ndiye “Mfunzi Mtukufu.” Hakuna mwalimu mwingine anayelingana naye. Ingawa hivyo, watu wawezaje ‘kumwona’ na ‘kumsikia’? Yehova hujifunua kupitia manabii wake, ambao maneno yao yamerekodiwa katika Biblia. (Amosi 3:6, 7)

  • Endelea Kumngojea Yehova
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • b Hapo ndipo mahali pekee katika Biblia ambapo Yehova aitwa “Mfunzi Mtukufu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki