-
Endelea Kumngojea YehovaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
17, 18. Hata katika nyakati za magumu, Yehova huandaaje mwongozo?
17 Isaya aendeleapo kutoa hotuba yake, awakumbusha wanaomsikiliza kwamba shida itakuja. Watu watapata “chakula cha shida na maji ya msiba.” (Isaya 30:20a) Shida na msiba watakazopata wakiwa chini ya mazingiwa zitakuwa za kawaida kama vile chakula na maji zilivyo vitu vya kawaida. Ijapokuwa hivyo, Yehova yuko tayari kuwaokoa wenye mioyo minyofu. “Waalimu [“Mfunzi Mtukufu,” “NW”] wako hawatafichwa tena, ila macho yako yatawaona waalimu wako;
-
-
Endelea Kumngojea YehovaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
18 Yehova ndiye “Mfunzi Mtukufu.” Hakuna mwalimu mwingine anayelingana naye. Ingawa hivyo, watu wawezaje ‘kumwona’ na ‘kumsikia’? Yehova hujifunua kupitia manabii wake, ambao maneno yao yamerekodiwa katika Biblia. (Amosi 3:6, 7)
-
-
Endelea Kumngojea YehovaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
b Hapo ndipo mahali pekee katika Biblia ambapo Yehova aitwa “Mfunzi Mtukufu.”
-