Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mfalme na Wakuu Wake
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 17. Ni nani leo walio kama ‘binti wasiokuwa na uangalifu’ ambao Isaya anawataja?

      17 Unabii wa Isaya waendelea: “Inukeni, enyi wanawake wenye raha, isikieni sauti yangu; enyi binti za watu msiokuwa na uangalifu, tegeni masikio yenu msikie matamko yangu. Maana mtataabishwa siku kadha wa kadha zaidi ya mwaka, enyi wanawake mliojikinai; kwa sababu mavuno ya mizabibu yatakoma, wakati wa kuvuna vitu vya mashamba hautakuja.

  • Mfalme na Wakuu Wake
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Mtazamo wa wanawake hao huenda ukatukumbusha watu wanaodai kumtumikia Mungu leo bali hawana bidii katika utumishi wake. Watu hao wamo katika “Babiloni Mkubwa, mama wa makahaba.” (Ufunuo 17:5) Kwa kielelezo, washiriki wa dini za Jumuiya ya Wakristo wanafanana sana na jinsi Isaya anavyowafafanua “wanawake” hao. Wana “raha,” pasipo kujali hukumu na fadhaiko ambazo zitawaangamiza karibuni.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki