Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Hakuna Mkaaji Atakayesema, Mimi Mgonjwa”
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 33:8,

  • “Hakuna Mkaaji Atakayesema, Mimi Mgonjwa”
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Atapuuza kwa ukatili maagano ambayo amefanya na wakazi wa Yuda. (2 Wafalme 18:14-16) Ashuru ‘ataidharau miji’ ya Yuda, akiidharau na kuidhihaki, pasipo kujali uhai wa kibinadamu.

  • “Hakuna Mkaaji Atakayesema, Mimi Mgonjwa”
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • “Maagano” ya kisiasa na ya kifedha, yanayokusudiwa kuyalinda masilahi ya Jumuiya ya Wakristo, yatavunjwa. (Isaya 28:15-18)

  • “Hakuna Mkaaji Atakayesema, Mimi Mgonjwa”
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Shughuli za kibiashara zitakoma, huku mali na vitega-uchumi vya Jumuiya ya Wakristo vikitwaliwa au kuharibiwa. Yeyote aliye na maoni ya kirafiki kuelekea Jumuiya ya Wakristo hatafanya lolote ila kusimama mbali na kuombolezea uharibifu wake. (Ufunuo 18:9-19)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki