Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Hakuna Mkaaji Atakayesema, Mimi Mgonjwa”
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 17. (a) Ni ahadi gani zinazotolewa kuhusu Sayuni? (b) Ahadi za Yehova kuhusu Sayuni zatimizwaje kwa Ufalme wa Kimesiya na kwa wale wanaouunga mkono duniani?

      17 Isaya aendelea: “Angalia Sayuni, mji wa sikukuu zetu; macho yako yatauona Yerusalemu umekuwa kao la raha; hema isiyotanga-tanga; vigingi vyake havitang’olewa, wala kamba zake hazitakatika.

  • “Hakuna Mkaaji Atakayesema, Mimi Mgonjwa”
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 33:20,

  • “Hakuna Mkaaji Atakayesema, Mimi Mgonjwa”
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya atuhakikishia kuwa Ufalme wa Kimesiya wa Mungu hauwezi kung’olewa wala kuharibiwa. Isitoshe, kwa wazi ulinzi huo unawafikia watu waaminifu duniani leo wanaounga mkono Ufalme. Hata ikiwa watu wengi mmoja-mmoja wajaribiwa vikali, raia za Ufalme wa Mungu wamehakikishiwa kwamba juhudi zozote za kutaka kuwaangamiza wakiwa kutaniko hazitafaulu kwa vyovyote. (Isaya 54:17)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki