Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova Aghadhibikia Mataifa
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Wakati wowote mtu alinganishapo unabii huo na utimizo wake, hayo mawili yatalingana—kama vile viumbe wanaokaa katika Edomu iliyoachwa ukiwa wafananavyo na ‘wenzao.’ Isaya azungumza na wanafunzi wa unabii wa Biblia wa wakati ujao, akisema: “Tafuteni katika kitabu cha BWANA [“Yehova,” “NW”] mkasome; hapana katika hao wote atakayekosa kuwapo, hapana mmoja atakayemkosa mwenzake; kwa maana kinywa changu kimeamuru, na roho yake imewakusanya.

  • Yehova Aghadhibikia Mataifa
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 34:16,

  • Yehova Aghadhibikia Mataifa
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 19 Uharibifu unaokaribia wa Jumuiya ya Wakristo umetabiriwa katika “kitabu cha Yehova.” “Kitabu [hicho] cha Yehova” chaonyesha jinsi Yehova atakavyowatoza hesabu adui zake wasiotulizika na ambao ni waoneaji wasiotubu wa watu wake. Mambo yaliyoandikwa juu ya Edomu ya kale yalitimia, na hilo huimarisha uhakika wetu kwamba unabii unaohusu Jumuiya ya Wakristo ambayo ni mfano wa leo wa Edomu, utatimia vivyo hivyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki