-
‘Wafarijini Watu Wangu’Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Je! wewe hukujua? hukusikia? Yeye Mungu wa milele, BWANA, Muumba miisho ya dunia, hazimii, wala hachoki; akili zake hazichunguziki.”—Isaya 40:27, 28.
-
-
‘Wafarijini Watu Wangu’Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Wanakumbushwa mambo wanayopaswa kujua kwa kujionea, la sivyo, kwa kusikia. Yehova ana uwezo na nia ya kuwakomboa watu wake. Yeye ni Mungu wa milele na Muumba wa dunia nzima. Kwa hiyo, bado ana nguvu alizoonyesha wakati wa uumbaji, na hata Babiloni yenye nguvu haiwezi kulingana naye. Mungu wa namna hiyo hawezi kuchoka wala kuwatamausha watu wake. Hawapaswi kutarajia kuyaelewa kikamilifu matendo ya Yehova, kwa maana uelewevu wake—au ufahamu wenye kina, na utambuzi—unazidi uwezo wao wa ufahamu.
-