-
‘Wafarijini Watu Wangu’Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
28, 29. (a) Yehova awakumbushaje watu wake kwamba atawasaidia wenye kuzimia? (b) Ni kielezi gani kimetumiwa ili kuonyesha jinsi ambavyo Yehova huwapa watumishi wake nguvu?
28 Kupitia Isaya, Yehova aendelea kuwatia moyo wahamishwa walioshuka moyo: “Huwapa nguvu wazimiao, humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo.
-
-
‘Wafarijini Watu Wangu’Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
29 Azungumziapo uhitaji wa kumpa nguvu mwenye kuzimia, huenda Yehova azingatia safari yenye kuchosha sana ambayo itabidi wahamishwa wafunge ili kurudi nyumbani. Yehova awakumbusha watu wake kwamba yeye ana zoea la kuwasaidia watu wanaozimia na ambao humtegemea.
-
-
‘Wafarijini Watu Wangu’Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Kwa sasa, hatuhitaji kuvumilia kwa nguvu zetu wenyewe. Yehova, ambaye nguvu zake haziwezi kwisha, aweza kuwatia nguvu watumishi wake katika nyakati za majaribu, “nguvu ipitayo iliyo ya kawaida.”—2 Wakorintho 4:7.
-