Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wenye Kufariji Unaokuhusu
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Mkombozi Aitwa

      6. Nabii anamfafanuaje mshindi wa wakati ujao?

      6 Kupitia Isaya, Yehova anatabiri mshindi atakayeokoa watu wa Mungu kutoka Babiloni na pia ahukumu adui zao. Yehova anauliza hivi : “Ni nani aliyemwinua mmoja atokaye mashariki, ambaye katika haki amemwita mguuni pake? ampa mataifa mbele yake, na kumtawaza juu ya wafalme [“kumfanya aende akitiisha hata wafalme,” “NW”]; awatoa wawe kama mavumbi kwa upanga wake, kama makapi yaliyopeperushwa kwa upinde wake.

  • Wenye Kufariji Unaokuhusu
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 41:2

  • Wenye Kufariji Unaokuhusu
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 7. Ni nani mshindi anayekuja, naye anatimiza nini?

      7 Ni nani aliyeinuliwa kutoka sehemu za mashariki? Nchi za Umedi-Uajemi na Elamu ziko mashariki ya Babiloni. Koreshi Mwajemi apiga miguu kutoka huko pamoja na majeshi yake hodari. (Isaya 41:25; 44:28; 45:1-4, 13; 46:11) Ingawa Koreshi si mwabudu wa Yehova, yeye anatenda kupatana na mapenzi ya Yehova, yule Mungu mwenye haki. Koreshi anatiisha wafalme, nao wanatawanywa kama vumbi mbele yake.

  • Wenye Kufariji Unaokuhusu
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Kufikia mwaka wa 539 K.W.K., Koreshi afikia jiji hodari la Babiloni na kulipindua. Basi watu wa Mungu wanafunguliwa ili warudi Yerusalemu kuanzisha upya ibada safi.—Ezra 1:1-7.c

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki