-
Wenye Kufariji UnaokuhusuUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Ni nani aliyetenda na kufanya jambo hilo, aviitaye vizazi tangu mwanzo? Mimi, BWANA, wa kwanza na wa mwisho, mimi ndiye.”—Isaya 41:2-4.
-
-
Wenye Kufariji UnaokuhusuUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
8. Ni Yehova tu anayeweza kufanya nini?
8 Hivyo, Yehova anamtumia Isaya kutabiri kuinuka kwa Koreshi, zamani kabla mfalme huyo hajazaliwa. Ni Mungu wa kweli tu anayeweza kutoa unabii kama huo kwa usahihi. Hakuna aliye sawa na Yehova kati ya miungu ya uwongo ya mataifa. Basi Yehova ana sababu nzuri ya kusema hivi: “Utukufu wangu sitampa mwingine.” Yehova tu ndiye mwenye haki ya kusema hivi: “Mimi ni wa kwanza, na mimi ni wa mwisho; zaidi yangu mimi hapana Mungu.”—Isaya 42:8; 44:6, 7.
-