Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wenye Kufariji Unaokuhusu
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 41:11-

  • Wenye Kufariji Unaokuhusu
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Kwa maana mimi, BWANA, Mungu wako, nitakushika mkono wako wa kuume, nikikuambia, Usiogope; mimi nitakusaidia.

  • Wenye Kufariji Unaokuhusu
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Ingawa Waisraeli walio mateka wanaonekana walegevu na bila ulinzi kama mdudu anayejipinda-pinda vumbini, Yehova atawasaidia. Lo, hiki kimekuwa kitia-moyo kizuri kama nini muda wote wa “siku za mwisho” wakati Wakristo wa kweli wamekabili uadui wa watu wengi sana ulimwenguni! (2 Timotheo 3:1) Tena ahadi ya Yehova ni yenye kutia nguvu kama nini wakati shambulio la Shetani, anayetajwa katika unabii kuwa “Gogu wa Magogu,” linapokaribia! Wakati Gogu atakapofanya shambulio kali juu ya watu wa Yehova, wataonekana kana kwamba hawana ulinzi sawasawa na mdudu—watu ‘wanaokaa pasipo kuta,’ pasipo hata “makomeo wala malango.” Hata hivyo, wanaomtumainia Yehova hawatahitaji kutetema kwa hofu. Mweza yote mwenyewe atapigana ili kuwakomboa.—Ezekieli 38:2, 11, 14-16, 21-23; 2 Wakorintho 1:3.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki