-
Wenye Kufariji UnaokuhusuUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
19, 20. Isaya anaandika nini juu ya kurudishwa kwa Israeli mahali penye uzuri, na hilo linatimizwaje?
19 Kwa usemi wa mfano, sasa Yehova anaimarisha ahadi yake ya kusaidia watu wake. Isaya anaandika hivi: “Maskini na wahitaji wanatafuta maji, wala hapana; ndimi zao zimekauka kwa kiu; mimi, BWANA, nitawasikia, mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha.
-
-
Wenye Kufariji UnaokuhusuUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
20 Ingawa Waisraeli wahamishwa wanakaa jiji kuu la serikali kubwa ya ulimwengu yenye utajiri, kwao jiji hilo ni kama jangwa lisilo na maji. Wanahisi kama Daudi, alipokuwa akijificha Mfalme Sauli. Mwaka wa 537 K.W.K., Yehova anawafungulia njia ya kurudi Yuda wakajenge upya hekalu lake Yerusalemu, na hivyo warudishe ibada safi.
-
-
Wenye Kufariji UnaokuhusuUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
21. Ni kisa gani cha kurudishwa kilichotokea nyakati za kisasa, na itakuwaje wakati ujao?
21 Jambo kama hilo lilitukia nyakati za kisasa, Koreshi Mkuu Zaidi, Kristo Yesu, alipokomboa wafuasi wake watiwa-mafuta kutoka utekwa wa kiroho ili waweze kufanya kazi ya kurudisha ibada safi.
-