-
“Mteule Wangu, Ambaye Nafsi Yangu Imependezwa Naye”!Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Hatalia, wala hatapaza sauti yake, wala kuifanya isikiwe katika njia kuu.
-
-
“Mteule Wangu, Ambaye Nafsi Yangu Imependezwa Naye”!Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
7. Kwa nini unabii ungeweza kusema kwamba Yesu ‘hangepaza sauti yake, wala kuifanya isikiwe katika njia kuu’?
7 Lakini ni kwa nini unabii unasema kwamba Yesu “hatapaza sauti yake, wala kuifanya isikiwe katika njia kuu”? Kwa sababu hakujipeleka kwa majivuno, kama walivyofanya watu wengi wa siku zake. (Mathayo 6:5) Akiponya mwanamume mkoma, Yesu alimwambia hivi mtu huyo aliyeponywa: “Angalia kwamba huambii mtu yeyote hata jambo moja.” (Marko 1:40-44) Yesu hakujitangaza na kuwafanya watu wakate kauli kutokana na uvumi, bali alitaka wao wenyewe watambue mambo kwa msingi wa ushuhuda imara ulioonyesha kwamba ndiye Kristo, Mtumishi mtiwa-mafuta wa Yehova.
-