Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Mteule Wangu, Ambaye Nafsi Yangu Imependezwa Naye”!
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • “Siku Nyingi Nimenyamaza Kimya”

      22, 23. Kwa nini Yehova ‘ananyamaza kimya siku nyingi’?

      22 Yehova hutenda kwa haki na bila kuonea, hata anapohukumu adui zake. Anasema hivi: “Siku nyingi nimenyamaza kimya; nimenyamaza, nikajizuia; sasa nitapiga kelele [“nitapiga kite,” “NW”] kama mwanamke aliye katika kuzaa; nitaugua na kutweta pamoja.

  • “Mteule Wangu, Ambaye Nafsi Yangu Imependezwa Naye”!
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 42:14,

  • “Mteule Wangu, Ambaye Nafsi Yangu Imependezwa Naye”!
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 23 Yehova huacha wakati upite kabla ya kuhukumu, ili awape wakosaji nafasi ya kugeuka waache njia zao mbaya. (Yeremia 18:7-10; 2 Petro 3:9) Kwa mfano, wafikirie Wababiloni ambao, wakiwa ndio serikali kubwa ya ulimwengu wakati huo, wanafanya Yerusalemu ukiwa mwaka wa 607 K.W.K. Yehova anaruhusu hilo kuwatia nidhamu Waisraeli kwa kukosa uaminifu. Hata hivyo, Wababiloni hawatambui fungu wanalotimiza. Wanakuwa wakali kwa watu wa Mungu kwa kuzidi kiasi kinachotakiwa na hukumu ya Mungu. (Isaya 47:6, 7; Zekaria 1:15) Mungu wa kweli anaumia kama nini kuona watu wake wakiteseka! Lakini anajizuia kuchukua hatua mpaka wakati wake unaofaa. Halafu, anajikakamua—kama mwanamke anayezaa—ili kuwakomboa watu wa agano lake, na kuwatokeza wakiwa taifa huru.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki